Madiwani wavuruga uchaguzi wa spika bungeni Migori
Published on: August 31, 2017 09:26 (EAT)
Shuguli za kumchagua spika wa bunge la Migori zilikatizwa kighafla baada ya vijana kuwavamia na kuwapiga wawakilishi wadi wa kaunti hiyo wakati ishara zote zilikuwa zikiashiria kwamba wakili Marwa Kerario alikuwa akiongoza katika kinyanganyiro kunyakua kiti hicho.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment