Maelfu watuma maombi ya kazi ya ukatibu kwenye wizara
Published on: December 01, 2017 08:53 (EAT)
Tume inayowaajiri maafisa wa umma PSC inatarajiwa kuanza kuchuja orodha ya wakenya zaidi ya elefu mbili waliioomba nafasi za ukatibu katika wizara za serikali kuanzia Jumatatu wiki ijayo. Mweyekiti wa tume hiyo Profesa Margaret Kobia anasema mchakato huo utatoa orodha ya watu 250 ambao watasailiwa kabla ya majina yao kuwasilishwa kwa rais Uhuru Kenyatta anapobuni serikali mpya.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment