Maelfu ya wakazi wa Suguroi huko Laikipia wateseka
Published on: September 02, 2017 08:42 (EAT)
Hali ya msukosuko imewakumba wakazi zaidi ya elfu mbili katika kaunti ya Laikipia baada ya kuhamishwa kutoka makwao mwezi moja uliopita. Wakazi hao kwa sasa wanaishi maisha ya uchochole katika kambi moja iliotengwa na shirika la msalaba mwekundu huko suguroi kaunti ya Laikipia.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment