Mafundi 2 wafariki baada ya kuangukiwa na jumba
Published on: January 03, 2018 08:10 (EAT)
Nyumba ya ghorofa moja imeporomoka na kuwauwa watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi waliokuwa wakiibomoa katika mtaa wa pipeline hapa jijini Nairobi. Habari hii na nyingine tunazipata kwenye mseto wa taarifa
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment