Mafuriko Marsabit, Kisumu
Published on: March 26, 2017 07:55 (EAT)
Wenyeji wa maeneo ya nyamasaria katika kaunti ya kisumu na North Horr huko Marsabit wanakadiria hasara kubwa kutokana na kunyesha kwa mvua kubwa iliyosababisha mafuriko katika sehemu hizo. Hii ni licha ya hali mbaya ya kiangazi kilichoshuhudiwa katika sehemu nyingi nchini mwaka huu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment