Magari 2 ya polisi yachomwa na watu wanaoshukiwa kuwa Al-Shabaab
Published on: January 13, 2018 07:57 (EAT)
Huku hayo yakiarifiwa mali ya thamani isiyojulikana imeharibiwa katika mji wa Marsabit baada ya vijana waliokuwa na hasira kuandamana kufuatia kutiwa mbaroni kwa shekhe anayeshukiwa kuwa na ushirikianano na magaidi wa al-Shabaab.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment