Magari 2 ya polisi yachomwa na watu wanaoshukiwa kuwa Al-Shabaab

Huku hayo yakiarifiwa mali ya thamani isiyojulikana imeharibiwa katika mji wa Marsabit baada ya vijana waliokuwa na hasira kuandamana kufuatia kutiwa mbaroni kwa shekhe anayeshukiwa kuwa na ushirikianano na magaidi wa al-Shabaab.

Tags:

lamu Al Shabaab Marsabit PandaNguo

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories