Magavana wa Mlima Kenya waungana kwa nia ya kujenga reli

Kaunti tano za eneo la mlima Kenya ziko katika harakati za kuchangisha shilingi bilioni 25 ili kufufua na kupanua reli ambayo itatoka Isiolo hadi jijini Nairobi.
Kaunti hizo zinapanga kuanza mpango huo kwa kuchangisha shilingi milioni 100 kila kaunti matumaini yakiwa kuleta faida maradufu kwa wenyeji wa kaunti hizo.

Tags:

Isiolo-Nairobi railway reli

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories