Magavana wamrai Ruto azungumzie jinsi ya kulipa madeni

Magavana wamekamilisha kongamano lao la siku tatu katika eneo la Diani huko Kwale kwa kusisitiza umuhimu wa serikali kuu kutekeleza wajibu wake wa kushajiisha mfumo wa Ugatuzi.

Tags:

salim mvurya COG josephat nanok

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories