Magavana wamrai Ruto azungumzie jinsi ya kulipa madeni
Published on: December 16, 2017 08:10 (EAT)
Magavana wamekamilisha kongamano lao la siku tatu katika eneo la Diani huko Kwale kwa kusisitiza umuhimu wa serikali kuu kutekeleza wajibu wake wa kushajiisha mfumo wa Ugatuzi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment