Magavana wapya 15 waanza rasmi kazi

Ahadi kochokocho zimetolewa na magavana 15 walioptishwa leo kuchukua nafasi ya wale waliobwagwa uchaguzini. Mike Mbuvi Sonko, gavana mpya wa Nairobi na Charity Ngilu, gavana wa Kitui, na wa kwanza wa kike kuapishwa, ni miongozi mwa magavana hao ambao wanaahidi umoja na mabadiliko katika kaunti zao.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories