Magavana wasema hawana pesa za kuendesha kaunti
Published on: October 03, 2017 08:06 (EAT)
Baraza la magavana sasa linaitaka serikali kuu kupitia wizara ya fedha kutuma pesa za mgao katika kaunti kwani shughuli zimelemazwa. Kupitia mwenyekiti wa barasa la magavana Josphat Nanok, kaunti hazijapokea pesa tangu mwezi Julai huku waziri wa fedha Henry Rotich akilaumu bunge la seneti kuchelewesha mswada wa kugawa fedha hizo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment