Magavana wasema wauguzi wanaogoma hawatalipwa
Published on: June 24, 2017 09:18 (EAT)
Baraza la magavana limewataka wauguzi wanaogoma kurudi kazini haraka iwezekanavyo au watapigwa kalamu kwani mgomo huo si halali na kwamba pesa wanazoitisha hazipo kwa sasa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment