Magavana wasema wauguzi wanaogoma hawatalipwa

Baraza la magavana limewataka wauguzi wanaogoma kurudi kazini haraka iwezekanavyo au watapigwa kalamu kwani mgomo huo si halali na kwamba pesa wanazoitisha hazipo kwa sasa.

Tags:

Council of Governors Nurses strike mgomo wa wauguzi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories