Magavana wasitisha mchango wa wauguzi kwa muungano wao
Published on: June 17, 2017 08:01 (EAT)
Serikali za kaunti zimepiga marufuku mchango wa wauguzi kwa muungano wao kwanzia hii leo. Baraza la mawaziri limeamrisha hatua hii ili kuwezesha uchunguzi wa uanachama kwa kila muuguzi anayeshiriki mgomo wa kitaifa unaoendelea. Haya yanajiri huku viongozi wa muunguno wa kitaifa wa wauguzi ukishikilia kuwa mgomo bado ungalipo na hatua hiyo ya baraza la magavana ni vitisho visivyokuwa na msingi kwani vinakiuka sheria.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment