Magavana wasitisha mchango wa wauguzi kwa muungano wao
Published on: June 17, 2017 08:01 (EAT)
Serikali za kaunti zimepiga marufuku mchango wa wauguzi kwa muungano wao kwanzia hii leo. Baraza la mawaziri limeamrisha hatua hii ili kuwezesha uchunguzi wa uanachama kwa kila muuguzi anayeshiriki mgomo wa kitaifa unaoendelea. Haya yanajiri huku viongozi wa muunguno wa kitaifa wa wauguzi ukishikilia kuwa mgomo bado ungalipo na hatua hiyo ya baraza la magavana ni vitisho visivyokuwa na msingi kwani vinakiuka sheria.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment