Magavana,Maseneta, Wabunge Wakongamana Kwale

Viongozi kutoka kaunti sita za pwani wamekubaliana kubuni jopo la pamoja  litakaloangazia mahitaji  ya kijamii, uchumi na siasa katika  eneo hilo.haya yameafikiwa katika mkutano  ulioandaliwa kaunti ya Kwale, huku suala la ushirikiano wa kisiasa likionekana kuwagawanya kwa maoni, baadhi yao wakieleza umuhimu wa wapwani kuunda chama cha kisiasa.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories