Magavana,Maseneta, Wabunge Wakongamana Kwale
Published on: November 16, 2014 07:17 (EAT)
Viongozi kutoka kaunti sita za pwani wamekubaliana kubuni jopo la pamoja litakaloangazia mahitaji ya kijamii, uchumi na siasa katika eneo hilo.haya yameafikiwa katika mkutano ulioandaliwa kaunti ya Kwale, huku suala la ushirikiano wa kisiasa likionekana kuwagawanya kwa maoni, baadhi yao wakieleza umuhimu wa wapwani kuunda chama cha kisiasa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment