Mahakama: Hukumu ya kifo si lazima kwa wauaji
Published on: December 14, 2017 08:03 (EAT)
Sasa haitakuwa lazima kutoa hukumu ya kumnyonga mshatikiwa aliyepatikana na hatia ila atapewa nafasi ya kuthibitisha kuwa hastahili kuhukumiwa kifo, hukumu hiyo hata hivyo ingalipo. Mahakama ya juu imeamua kuwa kifungu cha 204 cha sheria hiyo hakiambatani na katiba.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment