Mahakama kuu yampa fidia ya milioni 4 msichana ambaye picha zake akiwa uchi zilisambazwa na polisi mtandaoni

Mahakama ya Juu imeamuru mwanafunzi mmoja wa kike apewe fidia ya shilingi millioni nne, kwa aibu aliyopta mikononi mwa polisi miaka miwili iliyopita. Msichana huyo inadiwa kuwa alishikwa visvyo na picha zake akiwa uchi kusambazwa kwee mitandao ya kijamii na polisi. Denis Otieno ana maelezo zaidi. 

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories