Mahakama: Mchujo wa Wiper Machakos urudiwe
Published on: May 05, 2017 09:12 (EAT)
Mwenyekiti wa chama cha ODM JOHN MBADI na Wavinya Ndeti wamepata pigo baada ya jopo la kutatua mizozo ya kisiasa kubatilisha uteuzi wao. Sasa uteuzi wa mgombea wa ugavana mkatika kaunti ya Machakos utafanyika hapo kesho na ule na marudio ya kupiga kura katika vituo saba katika eneo la suba kaskazini kufanyika Jumatatu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment