Mahakama: Mchujo wa Wiper Machakos urudiwe

Mwenyekiti wa chama cha ODM JOHN MBADI na Wavinya Ndeti wamepata pigo baada ya jopo la kutatua mizozo ya kisiasa kubatilisha uteuzi wao. Sasa uteuzi wa mgombea wa ugavana mkatika kaunti ya Machakos utafanyika hapo kesho na ule na marudio ya kupiga kura katika vituo saba katika eneo la suba kaskazini kufanyika Jumatatu.

Tags:

WIPER John Mbadi Wavinya Ndeti machakos suba Caroli omondi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories