Mahakama ya juu yabatilisha ushindi wa Kenyatta
Published on: September 01, 2017 08:16 (EAT)
Mahakama ya Juu imebatilisha uchaguzi wa urais uliofanyika tarehe nane Agosti na kuitaka tume ya uchaguzi IEBC kuandaa kinyang’anyiro kipya kabla ya muda wa siku 60 zijazo kwisha. Kwa uamuzi wa majaji wengi, Mahakama hiyo imetaja kuwa shughuli hiyo ilikumbwa na hitilafu ambazo ziliharibu uadilifu wa uchaguzi huo. Mahakama hiyo sasa imekuwa ya kwanza barani Afrika kuwahi kubatilisha uchaguzi wa urais kama anavyoripoti Sam Gituku.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment