Mahakama ya juu yapiga breki mpango wa kuajiri madaktari kutoka Tanzania
Published on: March 31, 2017 08:13 (EAT)
Wizara ya afya na baraza la magavana wamepata pigo baada ya mahakama ya juu kuamuru kusitishwa kwa mipango ya kuajiri madaktari kutoka nchi za nje.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment