Mahakama ya rufaa ina wiki 2 kuamua ni nani anafaa kutangaza kura za urais

Majaji watano wa mahakama ya rufaa wana muda wa majuma mawili kuandaa uamuzi wao kuhusiana na kesi iliyowasilishwa na tume ya uchaguzi nchini-IEBC kupinga uamuzi wa mahakama kuu, kuwa matokeo ya kura ya urais yatakayotangazwa katika maeneo bunge 290 ni rasmi, na hayawezi kufanyiwa mabadiliko. Wakili wa IEBC, wenzao wa muunago wa upinzani-NASA na shirika la Katiba Institute wamehitimisha hoja zao mbele ya majaji wa mahakama ya rufaa, huku kila mmoja akishikilia msimamo wake.

Tags:

IEBC kura za urais mahakama ya rufaa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories