Mahakama yaamuru marufuku dhidi ya plastiki itekelezwe
Published on: August 25, 2017 08:56 (EAT)
Marufuku ya matumizi ya karatasi za plastiki itaendelea kuanzia Jumatatu kama ilivyopangiwa. Hii nikufuatia uamuzi wa korti ambao umetolewa hii leo baada ya kampuni za kutengeza mifuko hiyo kuenda mahakamani kupinga marufuku hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment