Mahakama yaharamisha matumizi ya Alcoblow babarani
Published on: April 07, 2017 08:05 (EAT)
Mahakama ya rufaa hii leo imeharamisha matumizi ya kifaa cha kupima kiwango cha ulevi miongoni mwa madereva kwa lugha ya kiingereza ‘Alcoblow’. Ikitoa uamuzi huo mahakama hio imedokeza kuwa sheria za alcoblow haziambatani na sheria za trafiki.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment