Mahakama yaharamisha matumizi ya ‘Alcoblow’ babarani
Published on: April 07, 2017 08:05 (EAT)
Mahakama ya rufaa hii leo imeharamisha matumizi ya kifaa cha kupima kiwango cha ulevi miongoni mwa madereva kwa lugha ya kiingereza ‘Alcoblow’. Ikitoa uamuzi huo mahakama hio imedokeza kuwa sheria za alcoblow haziambatani na sheria za trafiki.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment