Mahakama yaruhusu NASA kukagua mitambo ya IEBC japo kwa masharti
Published on: August 28, 2017 09:10 (EAT)
Mawakili wa viongozi wa Nasa Raila Odinga na Kalonzo Musyoka na wale wa Rais Uhuru Kenyatta wanapekua stakabadhi na mitambo ya teknolojia iliyotumiwa katika uchaguzi uliofanyika terehe nane mwezi huu. Haya ni baada ya kupata ruhsa kutoka kwa mahakama ya kilele mbapo agizo lilitolewa kuwa shughuli hiyo ambayo inasimamiwa na msajili wa idara ya mahakama ikamilike na ripoti kuwasilishwa kufikia saa kumi na moja jioni hapo kesho.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment