Mahakama yasita tena kuwafunga jela madaktari

Mahakama ya viwandani kwa mara nyingine imewapatia madaktari nafasi ya kuendelea na mazungumzo. Jaji Hellen Wasilwa ameahirisha kwa siku saba hukumu ya jela aliyotoa awali.

Tags:

Hellen wasilwa Madaktari

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories