Mahakama yatoa masharti kwa madaktari

Viongozi saba wa chama cha madaktari waliokuwa wamekatamwa  sasa wanatarajiwa kurejea kwenye meza ya mazungumzo hapo kesho. Mazungumzo hayo ya siku saba ambayo yataongozwa na wawakilishi wa chama cha wanasheria na tume ya kutetea haki za binadam yanatizamiwa kufikia mkataba wa kurejea kazini. Kesi hiyo itasikizwa tena wiki ijayo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories