Mahakama yatupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Prof Nyong’o
Published on: January 03, 2018 08:06 (EAT)
Mahakama kuu mjini Kisumu imetupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa gavana Peter Anyang Nyong’o iliyowasilishwa na mpinzani wake aliyekuwa gavana wa kaunti hiyo Jack Ranguma.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment