Maharusi waliotumia Ksh. 100 wapewa zawadi
Published on: January 27, 2017 08:55 (EAT)
Siku moja baada ya Runinga ya Citizen kuangazia kisa cha wapenzi wawili waliofunga ndoa kwa kutumia shilingi mia moja pekee, kwani hawakuwa na uwezo.Wakenya wengi waliguswa na simulizi yao ya mapenzi na hivyo basi wakaamua kujitolea kuwapa zawadi ambayo hawakuilalia wala kuiamkia.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment