Maina Kamanda ajiuzulu kutoka siasa
Jopo ya malalamishi ya vyama vya kisiasa imeamuru chama cha Jubilee kutotangaza matokeo wala kurejelea hisabu za kura za wadhifa wa ugavana katika uchaguzi wa mchujo kaunti ya Laikipia.
Uamuzi huo unajiri baada ya gavana wa kaunti hiyo joshua irungu kuwasilisha kesi mahakamani akitaka uamuzi wa bodi ya uchaguzi ya jubilee iliyomtangaza mpinzani wake Nderitu Mureithi kama mshindi kufutiliwa mbali.
Haya yanajiri huku simon mbugua akisitisha azma yake ya kuwania ubunge wa kamukunji na kumwachia Yussuf Hassan tiketi ya chama cha Jubilee.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment