Maina Njenga akataliwa katika chama cha Jubilee
Published on: March 03, 2017 08:37 (EAT)
Chama cha Jubilee kimekataa kupokea karatasi za uteuzi za aliyekuwa kiongozi wa kundi lililoharamishwa la Mungiki, Maina Njenga.Wakati huo huo, Rais Uhuru Kenyatta ametangaza mipango ya kuajiri maafisa wa polisi elfu kumi zaidi mwaka huu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment