Maiti za walioangamia Mandera zaanza kutambuliwa
Published on: October 26, 2016 10:01 (EAT)
Familia nane za waathiriwa wa shambulizi la kigaidi katika kaunti ya Mandera lililopelekea vifo vya watu 12 walifika na kutambua miili ya wapendwa wao.
Shughuli hiyo ya kuwatambua ilizua majonzi katika hifadhi ya maiti ya Chiromo walikosafirishwa wafu hao.
Na kama anavyoarifu Hassan Mugambi haya yanajiri huku maswali mengi bila majibu yakiendelea kuulizwa kuambatana na shambulizi hilo la Jumatatu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment