Majaji 2 waamua uchaguzi ulikuwa wa haki

Uamuzi wa kubatilisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika mchuano wa ikulu haukuungwa mkono na majaji wote wa mahakama ya upeo nchini. Majaji Jackton Ojwang na Njoki Ndung’u walitoa uamuzi mbadala, na kusema kinara wa Nasa Raila Odinga hakutoa ushahidi wa kutosha, kuwashawishi kuwa uchaguzi wa urais ulikumbwa na dosari chungu nzima.

Tags:

Jackton Ojwang njoki ndungu PRESIDENTIAL PETITION David maraga. Supreme Court

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories