Majaji 2 waamua uchaguzi ulikuwa wa haki
Published on: September 01, 2017 08:23 (EAT)
Uamuzi wa kubatilisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika mchuano wa ikulu haukuungwa mkono na majaji wote wa mahakama ya upeo nchini. Majaji Jackton Ojwang na Njoki Ndung’u walitoa uamuzi mbadala, na kusema kinara wa Nasa Raila Odinga hakutoa ushahidi wa kutosha, kuwashawishi kuwa uchaguzi wa urais ulikumbwa na dosari chungu nzima.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment