Majaji 7 wa mahakama ya juu kutoa uamuzi kesho
Published on: August 31, 2017 09:20 (EAT)
Jopo la majaji saba wa mahakama ya kilele nchini linatarajiwa kutoa uamuzi kuhusiana na kesi inayopinga matokeo ya ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta hapo kesho. kinara wa Nasa Raila Odinga jioni hii amehudhuria maombi saa chache kabla ya uamuzi huo kutolewa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment