Majaji Isaac Lenaola na Philomena Mwilu watuhumiwa
Published on: September 19, 2017 08:12 (EAT)
Tume ya kuwaajiri majaji nchini imetakiwa kuwachunguza majaji wawili wa mahakama ya kilele kufuatia madai ya kuwa na uhusiano na mawakili waliomwakilisha kinara wa Nasa Raila Odinga wakati wa kusikizwa kwa kesi iliyopinga ushindi wa Kenyatta.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment