Majaji ; marudio ya uchaguzi wa urais hayakuhitaji uteuzi upya

Majaji hao walisoma uamuzi wa kina hii leo ambao ulifutilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa Uhuru Kenyatta kwenye marudio ya uchaguzi

Majaji hao wamesema kuwa kinara wa Nasa Raila Odinga hakujiondoa kwenye uchaguzi kulingana na sheria zilizopo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories