Majaji ; marudio ya uchaguzi wa urais hayakuhitaji uteuzi upya
Published on: December 11, 2017 08:40 (EAT)
Majaji hao walisoma uamuzi wa kina hii leo ambao ulifutilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa Uhuru Kenyatta kwenye marudio ya uchaguzi
Majaji hao wamesema kuwa kinara wa Nasa Raila Odinga hakujiondoa kwenye uchaguzi kulingana na sheria zilizopo
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment