Majaji wa Mahakama ya Kilele waenda faraghani kuandika uamuzi
Published on: August 30, 2017 08:19 (EAT)
Majaji saba wa mahakama ya upeo kuanzia asubuhi ya leo wamekuwa katika shughuli ya kutathmini ushahidi na hoja zilizowasilishwa mbele yao, kabla ya kila mmoja kukaa kivyake na kuandika hukumu kuhusiana na kesi iliyowasilishwa mbele yao kupinga ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu wa Agosti nane.
Hassan mugambi anaangazia jinsi mambo yatakavyokuwa iwapo watatoa uamuzi wa kukubali au kufutilia mbali yaliyowasilishwa na upande wa mlalamishi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment