Majaji wa mahakama ya kilele wanatarajiwa kutoa uamuzi Jumatatu
Published on: November 16, 2017 08:15 (EAT)
Majaji wa mahakama ya juu wamekamilisha vikao vya kusikiliza kesi mbili za uchaguzi wa rais wa oktoba 26 na sasa watakwenda katika kikao cha faragha kuandika uamuzi watakaoutoa siku ya Jumatatu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment