Majambazi waiba kahawa ya Ksh 2 M Embu

Wakulima wa kahawa kutoka kaunti ya Embu wanakidira hasara kubwa baada ya majambazi kuvamia kiwanda chao cha Mwiria usiku wa kuamkia leo na kuiba kahawa yenye thamani ya shilingi milioni moja nukta tano.

Tags:

embu KPCU Coffee theft kahawa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories