Majambazi waiba kahawa ya Ksh 2 M Embu
Published on: September 02, 2017 08:46 (EAT)
Wakulima wa kahawa kutoka kaunti ya Embu wanakidira hasara kubwa baada ya majambazi kuvamia kiwanda chao cha Mwiria usiku wa kuamkia leo na kuiba kahawa yenye thamani ya shilingi milioni moja nukta tano.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment