Majeruhi wa maandamano ya NASA wanapata afueni hospitalini

Waathiriwa wengi wa maandamano ya muungano wa NASA wangali wanauguza majeraha hospitalini. Katika kaunti ya Migori, viongozi Wanawataka Rais Uhuru Kenyatta na mpinzani wake mkuu Raila Odinga wakubali kujadiliana kwa manufaa ya wakenya wote. Mwandishi wetu Kassim Mwalimu Adinasi aliwatembea baadhi ya waathiriwa katika hospitali kimisheni ya Omboo mjini Migori na kuandaa taarifa hii.

Tags:

raila odinga Migori NASA Anti-IEBC demos

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories