Majeruhi wengi wa ajali ya Migaa wanatibiwa hospitalini Nakuru

Familia za waliofariki katika ajali ya eneo la Migaa usiku wa kuamkia leo wanaomboleza vifo vya wapendwa wao. Mojawapo ya familia hizo imewapoteza watu wanne.

Tags:

Migaa Nakuru gneral hospital

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories