Majeshi ya KDF yaingia Baringo kusaka wahalifu
Published on: March 18, 2017 08:24 (EAT)
Maafisa watatu wamepigwa risasi na kujeruhiwa na wahalifu kutoka jamii ya Wapokot kwenye operesheni ya kuwaokoa wanawake wanane wa jamii ya Wailchamus waliotekwa nyara na wahalifu hao katika kaunti ya Baringo. Kwa mujibu wa Inspekta Mkuu Wa Polisi Joseph Boinnet, operesheni hiyo itaendelea hadi wahalifu wote watiwe mbaroni. Hassan mugambi yuko Baringo na ametuandalia taarifa ifuatayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment