Makachero wa EACC wavamia nyumbani kwa Muhamed Swazuri
Published on: May 04, 2017 09:06 (EAT)
Maafisa wa tume ya kupambana na ufisadi EACC, hii leo wamefanya msako katika nyumba ya mwenyekiti wa tume ya kitaifa ya ardhi Mohammed Swazuri na maafisa wengine wa tume hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment