Makamishna wa IEBC wakutana na viongozi wa Jubilee

Chama cha Jubilee na tume ya uchaguzi na uratibu wa mipaka nchini IEBC wamebuni kamati ya watu sita itakayotafuta mbinu ya kufanya uteuzi wa wagombea wa chama cha Jubilee. Kamati hiyo inatarajiwa kukutana kupanga jinsi Jubilee itaendesha shughuli ya uteuzi wa wagombea wake mwezi machi. Ben kirui ana maelezo Zaidi.

Tags:

IEBC Jubilee Party

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories