Makamishna wa IEBC wakutana na viongozi wa Jubilee
Published on: February 17, 2017 08:56 (EAT)
Chama cha Jubilee na tume ya uchaguzi na uratibu wa mipaka nchini IEBC wamebuni kamati ya watu sita itakayotafuta mbinu ya kufanya uteuzi wa wagombea wa chama cha Jubilee. Kamati hiyo inatarajiwa kukutana kupanga jinsi Jubilee itaendesha shughuli ya uteuzi wa wagombea wake mwezi machi. Ben kirui ana maelezo Zaidi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment