Makao ya Ruto yavamiwa
Published on: July 29, 2017 08:24 (EAT)
Maafisa wa kikosi cha GSU wamewauwa washambuliaji watatu waliovamia makazi ya naibu wa rais William Ruto huko Sugoi kaunti ya Uasin Gishu. Afisa mmoja wa GSU amejeruhiwa kwenye makabiliano hayo. Polisi wamezingira makazi hayo kuhakikisha kuwa genge hilo limekabiliwa vilivyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment