Makatibu wakuu 12 wahamishwa

Aliyekuwa katibu katika wizara ya afya Nicholas Muraguri amehamishiwa katika wizara ya ardhi. Muraguri ni miongoni mwa makatibu wengine 11 waliohamishwa kutoka wizara na idara walizokuwa wakihudumu.

Tags:

Irungu Nyakera Makatibu serikalini Nicholas Muraguri

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories