Makazi mabovu ya polisi kituoni Sagana
Published on: March 25, 2017 08:10 (EAT)
Hali ya vyumba wanavyoishi maafisa wa polisi katika kituo cha polisi cha Sagana ni ya kusikitisha.
Vyumba vya matope na ambavyo vinaelekea kuporomoka,juhudi za kupata msaada zikiwa zimegonga mwamba.
Hali hii imeathiri utendakazi wa maafisa hawa kama anavyoarifu Macharia Gachuru.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment