Makubaliano ya NASA

Muungano wa upinzani-nasa umeafikiana kuhusu mbinu na mikakati ya kumteua mgombea urais wake na mpangilio wa uongozi utakaotumika katika kinyang’anyiro cha mwezi agosti.

Duru zimeiarifu Citizen Nipashe kuwa nasa itamzindua mgombea urais wake tarehe nne mwezi ujao, atakayeafikiwa kwa njia ya muafaka.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories