Maskwota walilia haki eneo la pwani
Published on: December 03, 2017 08:22 (EAT)
Licha ya juhudi za serikali kujaribu kuimarisha usalama na kutatua suala la ardhi Pwani ya Kenya, baadhi ya maskwota wanaamini kwamba baadhi ya watu hutumia suala hilo la ardhi kuvuruga amani kupitia magege ya Kihuni.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment