Malaria yaua watu 40

Watu 40 wamethibitishwa kufariki kutokana na ugonjwa wa Malaria katika kaunti za Baringo na Marsabit, huku zaidi ya wengine 800 wakiwa wameripoti kuwa na ishara za ugonjwa huo.
Huku serikali na mashirika ya msaada yakiingilia kati kujaribu kutatua hali hii inayotishia maelfu ya wananchi, wakenya wanaoishi katika kile kimatajwa kuwa ukanda wa maambukizi wameelezwa kuwa makini.

Tags:

baringo MALARIA Marsabit

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories